Tuesday, June 17, 2014

MASTAA WA BONGO MOVIE WANUSURIKA KATIKA AJALI YA GARI

Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere akibadilisha tairi
Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere akibadilisha tairi
Wasanii nyota wa filamu ‘Bongo Movie’ wakiongozwa na mwenyekiti wao Steve Nyerere wamenusurika katika ajali mbaya ya gari  iliyotokea maeneo jirani na Chalinze wakiwa njiani kuelekea Dar wakitokea mjini Dodoma walipoenda kuhudhuria Tamasha la Uzalendo pamoja na Uzinduzi wa video ya wimbo wa miaka 50 wikiendi iliyopita.


Chanzo cha ajali hiyo kimetajwa kuwa ni kupasuka kwa matairi mawili ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Brevis lenye nambari za usajili T 200 CRY hata hivyo Hakuna mtu aliyeripotiwa kufa wala kujeruhiwa. Vicent Kigosi ‘Ray’, Shamsa Ford, Irene Uwoya, Johari na Jaccob Steven ‘JB’ ni miongoni mwa wasanii waliokuwepo eneo la tukio.
Maisha Matamu, Johari na Shamsa Ford katika picha baada ya kunusurika ajalini
Maisha Matamu, Johari na Shamsa Ford katika pozi, baada ya kunusurika ajalini
Brevis
  
TairiWadau wakitoa msaada
source: matukiotz.com

ANGALIA PICHA ZA WASANII WALIPOKULA CHAKULA CHA JIONI IKULU NDOGO DODOMA NA RAIS KIKWETE

 Msanii Jb akiteta na Rais Kikwete
 Rais Kikwete akionge na Ommy Dimpoz alipompa kazi yake

 Ommy Dimpoz akichukua chakula
 Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe
 
 Rais Kikwete Akifurahi na Msanii Mrisho Mpoto


 Wasanii Izo B na Quick Racka wakichukua chakula
 Ruge Mutahaba na Sebastian Maganga
 Queen Darleen akichukua chakula
 Ridhiwan Kikwete Mbunge wa chalinze akichuka chakula
 Shilole na Mbebe wakee

source: matukiotz.com