Sunday, August 3, 2014

HONGERA PASTOR MYAMBA - KAMERA YA MAISHA INAKUKARIBISHA RASMI

Ni majuzi tu msanii maarufu nchini Tanzania kwa Jina la Emmanuel Myamba a.k.a Pastor Myamba amefunga ndoa ya kipekee huko visiwani zanzibar na mke wake mpendwa Praxceda; Harusi hiyo ilifanyika zanzibar ambako Dadayake Mkubwa Grace Myamba a.k.a Teacher,  anaishi na aliyekuwa mratibu  wa shughuli nzima.





Ikumbukwe kuwa Pastor myamba aliwahi kuishi zanzibar kabla kuwa msanii maaarufu; Hivyo Zanzibar sio ngeni kwa pastor Myamba.


kabala ya Harusi yake tarehe 2/8 ilitanguliwa na send off ambayo ilifanyika tarehe 30/7/2014 Huko Dar es salaam.
Jiunge na Kamera ya maishi kwa kuziangalia picha za matukio haya mawili yanayowahusiha Mr and Mrs Emmanuel Myamba

Pmyamba

10563092_748575291870452_3593910751091734179_n

10577195_748845775176737_7071024044102009779_n
























































No comments:

Post a Comment