Friday, March 29, 2013

Taswira:Huzuni Yatawala Kifo Cha Mbunge wa Chambani(CUF),Marehemu Salim Hemedi Khamis Spika Wa Bunge Anne Makinda Aifariji Familia




 Spika wa Bunge, Anne Makinda,akimfariji Mke wa Marehemu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam.
 Spika wa Bunge, Anne Makinda akimpa pole, Asla Saidi Zaharani ambaye ni mke wa aliyekuwa Mbunge wa Chambani, Marehemu Salim Hemedi Khamis  aliyefariki jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
  Mke wa Mbunge wa Chambani Marehemu Salim Hemedi Khamisi wa pili kulia, Asla Saidi Zaharani, akili kwa uchungu baada ya kupewa taalifa ya kifo cha mume wake.
   Baadhi ya watoto wa Marehemu, Salim Hemedi Khamisi wakiwa na hudhuni kutokana na kifo cha baba yao mpendwa.
  Spika wa Bunge, Anne Makinda, akiwafaliji viongozi wa Chama cha wananchi CUF kutokana na kifo cha mbunge wao,Salim Hemedi Khamisi,Salim Hemedi Khamisi, katika Hosptali ya Taifa Muhimbili
   Waziri wa Ulinzi, Shamshi Vuai Nahodha,akisalimiana na wanafamilia wa marehamu, Salim Hemedi Khamis
 Baadhi ya viongozi wa Chama Cha Wananchi CUF wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakijadilijambo wakati wakisubili mwili wa marehemu,Salim Hemed Khamisi, Mbunge wa Chambani Pemba, Dar es Salaam.Baadhi ya familia ya Mbunge wa Chambani Marehemu, Salim Hemedi Khamisi, wakiwa na hudhuni kumwa baada ya mpendwa wao kufaliki dunia.Picha Zote na Mdau Dande Francis naSalhim Shao

 Rais jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mbunge wa Monduli Mhe Edward Lowassa na Mbunge wa Mafia Mhe Abdulkarim Shah alipowasili katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Machi 29, 2013 kuongoza waombolezaji katika kuuaga mwili wa Mbunge wa Chambani(CUF),Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika Vikao vya kamati ya Bunge na kufaikiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Baada ya shughuli hii mwili ulisafirishwa kuelekea Chambani, Pemba, kwa maziko.
Rais jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Spika Anne Makinda alipowasili katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Machi 29, 2013 kuongoza waombolezaji katika kuuaga mwili wa Mbunge wa Chambani(CUF),Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika Vikao vya kamati ya Bunge na kufaikiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Baada ya shughuli hii mwili ulisafirishwa kuelekea Chambani, Pemba, kwa maziko.
Rais jakaya Mrisho Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Machi 29, 2013 na kuongoza waombolezaji katika kuuaga mwili wa Mbunge wa Chambani(CUF),Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika Vikao vya kamati ya Bunge na kufaikiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Baada ya shughuli hii mwili ulisafirishwa kuelekea Chambani, Pemba, kwa maziko.
 Mama Salma Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo  katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Machi 29, 2013 ambapo Rais Kikwete aliongoza waombolezaji katika kuuaga mwili wa Mbunge wa Chambani(CUF),Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika Vikao vya kamati ya Bunge na kufaikiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Baada ya shughuli hii mwili ulisafirishwa kuelekea Chambani, Pemba, kwa maziko.
 Rais jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pole kwa wafiwa katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Machi 29, 2013 alipoongoza waombolezaji katika kuuaga mwili wa Mbunge wa Chambani(CUF),Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika Vikao vya kamati ya Bunge na kufaikiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Baada ya shughuli hii mwili ulisafirishwa kuelekea Chambani, Pemba, kwa maziko.
Kaimu Katibu wa Bunge Mhe John Joel akisoma wasifu wa marehemu
Rais jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongzi wa kitaifa na wabunge katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Machi 29, 2013 ambako aliongoza waombolezaji katika kuuaga mwili wa Mbunge wa Chambani(CUF),Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika Vikao vya kamati ya Bunge na kufaikiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Baada ya shughuli hii mwili ulisafirishwa kuelekea Chambani, Pemba, kwa maziko.
Wabunge wanawake wakiwa katika maombolezo  katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Machi 29, 2013 ambapo Rais Kikwete aliongoza waombolezaji  kuuaga mwili wa Mbunge wa Chambani(CUF),Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika Vikao vya kamati ya Bunge na kufaikiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Baada ya shughuli hii mwili ulisafirishwa kuelekea Chambani, Pemba, kwa maziko.Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment