Thursday, April 18, 2013

JK aongoza mazishi ya Bi kidude znz

10 b94f4

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Msanii mkongwe wa Muziki wa Mwambao (Taarab) Tanzania,Marehemu Fatma Baraka (Bi Kidude) katika makaburi ya Kitumba Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja jana. Chanzo: Muhidin Michuzi

source:Mjengwa blog

No comments:

Post a Comment