Sunday, April 7, 2013

Muasisi Wa Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar Akumbukwa


b9 16c79
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Zanzibar Dkt Mohamed Ali Shein na viongozi wengine wa juu wakisoma dua wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa (Karume Day) katika Makao Makuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar leo April 7, 2013. Picha: IKULU

No comments:

Post a Comment