Rais
wa Marekani, Barack Obama akikatiza katika maungio ya barabara ya 17 na
Pennsylvania Avenue jijini Washington, D.C., baada ya kutoka kwenye
mgahawa wa mtaa wa jirani kununua 'sandwich' tarehe 4 Oktoba 2013.
(picha: Pete Souza/ Ikulu "White House"). Wawakilishi wa Wananchi huko
Bungeni 'wamemwekea usiku' na 'kumzingua' Rais Obama kwenye mipango yake
inayotegemea bajeti ambayo waligoma kuipitisha, naye akatilia ngumu
kubadili au kuondoa miradi yake.
No comments:
Post a Comment