Saturday, May 31, 2014

MWILI WA MAREHEMU TYSON WATOLEWA HOSPITALI YA MKOA MORO

Baadhi ya ndugu na jamaa wakiutoa mwili wa marehemu George Tyson mochwari mchana wa leo katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro....Wakiupakia mwili wa marehemu katika gari.
Mwili wa marehemu George Tyson…
Baadhi ya ndugu na jamaa wakiutoa mwili wa marehemu George Tyson mochwari mchana wa leo katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro....Wakiupakia mwili wa marehemu katika gari.
Mwili wa marehemu George Tyson ukiwekwa sawa kabla ya kuanza safari ya kuja Dar es Salaam mchana wa leo.
(PICHA: Dastun Shekidele/GPL Morogoro)

source: global publishers

No comments:

Post a Comment