Saturday, November 3, 2012

Freeman Mbowe alipomfagilia JK kwa juhudi zake za kuendeleza miundombinu...




  • Kama Taifa na siasa zetu zitaangalia kuelekeza nguvu katika maendeleo ya wananchi tutakuwa tumefanikiwa sana;



  • Kwa hili Mheshimiwa Mbowe anastahili pongezi maendeleo kwanza na kwa faida ya wananchi;


Hongera Mbowe, umeonyesha ukomavu wa Demokrasia.

No comments:

Post a Comment