Thursday, November 29, 2012

UBINADAMU WETU NI WA KUIGIWA MFANO JAPO NI HATARI


Vijana wakiwa wamepanda  mnazi kuona mazishi ya aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu, Hussein Ramadhani maarufu kwa jina la Sharo Milionea,leo kwenye Kijiji cha  Lusanga, Muheza Tanga. (Picha na Bashir Nkoromo).







Taswira hizi mbili ni wakati wa mazishi ya Msanii Kanumba

No comments:

Post a Comment