Thursday, December 20, 2012

HII INATISHA TUTAJINASUA VIPI NA HALI HII


Kondakta wa Daladala akiwa amekaa pembezoni mwa barabara ya Morogoro eneo la Kimara Bucha kutokana na foleni kubwa iliyoanzia Kimara Stopover hadi Ubungo Mtaa jijini Dar es Salaam jana na iliyosababisha kero kwa watumiaji wa barabara hiyo. (Picha na Fidelis Felix/MWANANCHI)


Source: 
http://www.wavuti.com

No comments:

Post a Comment