Monday, December 10, 2012

MIAKA 51 YA UHURU TUMETOKA MBALI



Leo ni siku ya Uhuru wa Taifa lililokuwa likijulikana kama Tanganyika na hatimaye baada ya kuungana na Zanzibar mwaka 1964 likawa sehemu ya nchi tunayoifahamu hivi leo kama Tanzania.

Unaowaona hapo juu kwenye picha ni viongozi ambao mpaka sasa wameiongoza Tanzania.Kutoka kushoto kuna muasisi wa taifa,Baba wa Taifa,Hayati Julius Kambarage Nyerere, kisha Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Rais wa sasa, Jakaya Mrisho Kikwete.

HAPPY INDEPENDENCE DAY TANGANYIKANS!

No comments:

Post a Comment