Monday, January 14, 2013

BONGO DAR-ES-SALAAM UTAIPENDA TUU


Mchakato wa utengenezaji barabara za kisasa kupitia morogoro road hadi lango la jiji ukikamilika utakuwa na mwonekano huu.
Morogoro road hiyo itakuwa bomba na pindi itakavyo kamilika hii ndiyo taswira ya muonekano wake
Mabasi yatakayo tumia barabara hizo maalum ndiyo haya

source vijimambo

No comments:

Post a Comment