Monday, January 14, 2013

JE KUWA MSOMI NI UFUMBUZI WA KUPAPAMBANUA MAMBO?



Wanafunzi wa Chuop Cha Uongozi wa Fedha cha jijini Dar es Salaam (IFM) 

Hapa wakigoma kupungua kazi iliyochukua zaidi ya Saa moja hadi kivuko kuendelea na kazi ya kuvusha abiria
Pamoja na kutakiwa kupungua hapa wengine walizidi kuendelea kuingia na kukijaza kivuko hicho. Picha zote na Raha za Pwani, hii ni sehemu ya kwanza tutawaletea sehemu ya pili ya tukio hili ambalo hadi hivi sasa filamu inaendelea hapa feli na ikielekea Kigamboni





Wakajazana kupita kiasdi Kova akazuia kivuko kisiondoke hadi wapungue.Picha Zote na Habari na Mdau

SOURCE HAKI NGOWI BLOG

No comments:

Post a Comment