Tuesday, April 29, 2014

Basi la Hood lilivyoungua moto na kuteketea kabisa



Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani ya Basi la kampuni ya Hood, wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha walinusurika kufa baada ya Basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani.Chanzo: http://bit.ly/1m4F9cG (J M)

source: mjengwa blog

No comments:

Post a Comment