Thursday, June 6, 2013

KOVA OYEEE

Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi (CP) Suleiman Kova akijipongeza baada ya kuvishwa cheo hicho cha Kamishna wa Polisi (CP) na Mkuu wa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema. Picha na Hassan Mndeme-Jeshi al Polisi

No comments:

Post a Comment