Friday, June 7, 2013

Mazishi ya Mwanamuziki Mashuhuri Nchini Albert Mangwea Mjini Morogoro

 Jeneza lenye mwili wa Marehemu Mangwea
Mwili wa Msanii mashuhuri Alber Mangwea ukiwasili
  Mbunge wa Mbeya, mjini-Chadema Joseph Mbilinyi akitoa heshima za mwisho.
Rafiki wa Karibu wa Marehmu Mangwea M 2 The P akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa marehemu albert mangwea
 Waombolezaji wakishusha jeneza lililokuwa na mwili wa msanii mahiri wa Hip Hop, marehemu Albert Mangwea, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika mjini Morogoro jana
  Jeneza likishushwa kaburini.
  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akimfariji mama mzazi wa marehemu, Albert Mangwea.
Umati wa watu wakiwa nje ya Uwanja wa Jamhuri wakati wa kutoa heshima za mwisho.Picha Zote na Dande Francis
 
source: haki ngowi

No comments:

Post a Comment