Wednesday, June 26, 2013

MZEE VIPI WATU WASEMAJE?

 Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu,  Mizengo  Pinda baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 2013 kwa ajili ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM na Baraza  la Mawaziri.Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 20913  kwa ajili ya kuongoza kikao cha kamati Kuu ya CCM na Baraza la Mawaziri. 
Picha na Ofisi ya waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment