Wednesday, June 12, 2013

MHESHIMIWA MIZENGO PINDA



 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge waBunda na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Utatibu, Mhe. Stephen Wasira. Bngeni Mjini Dodoma Juni 12, 2013.
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, Bungeni mjini Dodoma Juni 12, 2013.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
 
SOURCE: HAKI NGOWI

No comments:

Post a Comment