Saturday, January 25, 2014

AJALI YA NDEGE PEMBA

Picture
Ndege ya shirika la Zan Air imeanguka Pemba jioni hii ikiwa imebeba jumla ya abiria 19, miongoni mwa abiria hao pia alikuwamo Waziri wa Habari na Katiba wa Zanzibar, Mhe. Abubakar Khamis. Abiria wote wametoka salama. (picha, maelezo: SufianiMafoto blog

No comments:

Post a Comment