Friday, May 10, 2013

Taswira Katika Taifa:Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Akifurahia Jambo na Mbunge wa Singida Mashariki-Chadema, Tundu Lissu




Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Singida  Mashariki-Chadema, Tundu Lissu kwenye uwanaj wa ndege wa Kilimanjaro alikowasili  May 8,2013 ili kufungua mkutano Mkuu wa ALAT jijini Arusha, May 9, 2013. Lisu pamoja na wabunge wengine walikwenda Arusha kujionea athari za mlipuko wa bomu kwenye Kanisa Kstoliki la Olasiti.Katikati ni Mbunge wa Igalula  Athumani Mfutakamba.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

source: Haki Ngowi

No comments:

Post a Comment