Tuesday, May 21, 2013

Taswira:Msanii nguli wa muziki wa kizazi kipya Nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay Ajiunga Rasmi na Chadema Leo

 The heavy weight MC Proj Jay, aka Dady, Joseph Haule akipokea Kadi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu Muda mfupi uliopita Mjini Dodoma Mara baada ya kujiunga rasmi na Chadema
Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Profesa amekabidhiwa kadi ya uanachama wa CHADEMA na mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu
Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema John Mnyika(kulia)akiteta jambo na mbunge wa mbeya mjini-Chadema Joseph Mbilinyi aka Sugu muda mfupi baada ya Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay kujiunga na chadema leo Mjini Dodoma
--

Muda si mrefu msanii maarufu hapa Bongo Profesa Jay (Joseph Haule) amejiunga na Chama Cha Demokrasi na Maendeleo huko Dodoma na amekabidhiwa tiketi ya chama cha CHADEMA rasmi na Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi aka Sugu huko Dodoma

source: haki ngowi

No comments:

Post a Comment