Monday, May 13, 2013

Taswira:Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Msanii Mrisho Mpoto

 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na msanii Mrisho Mpoto wakati alipozindua kampeni ya Made in  Tanzania  inayowahamasisha vijana kutumia fursa zilizopo nchini  kuzalisha bidhaa,  iliandaliwa na Kampuni ya Clouds FM Group kwenye uwanja Nyerere Mjini Dodoma Mei 12, 2013.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
 
source: haki ngowi

No comments:

Post a Comment