Sunday, October 28, 2012

HII NI KALI LAKINI IMEBEBA UJUMBE MZITO



  • Kilio chake ni cha kweli kabisa kina mengi ya kujifunza 
  • Tusiishie tu kucheka kuna mambo ambayo kweli yanahitaji marekebisho katika soka letu

  • Je soka limegeuka kuwa uhasama au ni huluka yetu sisi mashabiki na soka letu kutishana;

  • Nimecheka sana lakini inauma sana

  • kwa nini amesema kuwa hiyo hali haiwasumbui wachezaji?

Hebu tujadili

No comments:

Post a Comment