- Kampeni za stahili hii zitaweza kulisaidia Taifa letu katika maendeleo ya wananchi wao?
- Kiongozi mwenye dhamana ndani ya Chama chake anapofanya kampeni za matusi tutegemee nini?
- Hata kama aliomba radhi Nafikiri hii itabaki kuwa Legacy ya uongozi wake kwa vizazi vijavyo
- Nilicheka sana na wakati huu huu nilisikitika sana na natamani kufahamu CV yake
Hebu Tuijadili tunavyoelekea katika uchaguzi wa mwaka 2015
mimi nafikiri huyu mheshimiwa ingefurahisha sana kama angekuwa anaimba bongo flava, kwani ana kipaji sana ya kupangilia maneno; tatizo moja kubwa maneno mengi aliyokuwa anayasema kwa kweli ni aibu sana kuyasema kwa mtu mheshimiwa kama yeye;
ReplyDelete