Sunday, October 28, 2012

NI KWELI KATIKA TANZANIA YETU YA LEO WASOMI WAMEWEKA ELIMU YAO MIFUKONI?



  • Mheshimiwa Msigwa pengine ana hoja ya msingi: Je kama anahoja ya msingi kwa nini ushauri wake usifanyiwe kazi?


  • au tunaendekeza sana uhasama wa vyama na sera na siasa zake?


  • naipenda siasa pale tu itakapo weza kuwasaidia wananchi wenye uwezo wa chini na wanaoendelea kuishi katika maisha magumu


Hebu isikilize hii na kisha tuijadili

No comments:

Post a Comment