- Mheshimiwa Ole Sendeka ametoa mchango mkubwa sana katika hoja yake ambayo ikichukuliwa kwa umakini wake inaweza sana saidia kuimarisha Chama cha Mapinduzi wakati huu wa ushindani mkubwa wa kisiasa;
- Nina imani kuwa Mheshimiwa Kikwete anaweza kukinusuru chama chake kam kwanza atafanikiwa kuwatambua maadui wa ndani ambao ndio wabaya kuliko maadui wa nje,
wewe unasemaje tujadili?
mmmm CCM wanamtihani mkubwa sana, they need to look for permanent solutions; tatizo la rushwa na inaonekana kuna unafiki sana ambao unaendelea ndani miongoni mwa wananchama wenyewe.
ReplyDeletehii ni analysis nzuri ambayo Mheshimiwa Ole ameiona inabidi kweli CCM wasipuuze wazo hili.