Tuesday, October 30, 2012

KWA UTARATIBU HUU MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA NI NDOTO



  • inasikitisha kuona watendaji wa serikali ambao wamechaguliwa na wananchi ili kuwawakilisha kwa ajili ya maendeleo yoa ndo wanawageuka hivi hivi ili kutimiza masilahi binafsi. 



  • Tunatakiwa kuwa makani tupatapo nafasi ya kuwachagua  wawakilishi wetu; kweli tunatakiwa kuwachagua wale ambao watakuwa tayari kutusaidia.


Bado tunasafari ndefu sana;

No comments:

Post a Comment