- inasikitisha kuona watendaji wa serikali ambao wamechaguliwa na wananchi ili kuwawakilisha kwa ajili ya maendeleo yoa ndo wanawageuka hivi hivi ili kutimiza masilahi binafsi.
- Tunatakiwa kuwa makani tupatapo nafasi ya kuwachagua wawakilishi wetu; kweli tunatakiwa kuwachagua wale ambao watakuwa tayari kutusaidia.
Bado tunasafari ndefu sana;
No comments:
Post a Comment