Wednesday, October 31, 2012

UKOSEKANI WA USIMAMIZI MZURI WA MATUMIZI YA FEDHA YA SERIKALI:



  • Kilio cha baadhi ya wabunge kuwa wabunge wengi ni wepesi wa kupanga na kusema lakini kwa ujumla utekelezaji wa mipango hiyo yote ni duni;



  • Tatizo ni nini?



  • Je kunasababu ya kuendelea kukopa nje wakati matumizi ya mikopo hiyo pengine haina tija kwa wananchi ambao ndio wanaotakiwa kulipa madeni hayo?


Karibu mezani tujadili kwa faida ya Taifa letu

No comments:

Post a Comment