- Jenerali Ulimwengu anahoja hapa ikiiangalia kwa makini
- Washauri wa viongozi wetu wa juu wana nafasi gani katika kushauri uendeshaji wa Serikali?
- Ni kweli kuwa Marekebisho ya katika ijayo itaweza kuliona hili na kulijadili kwa faida na Taifa na sio watu wachache?
Hebu tutathimini hoja hii na tuijadili
nimeipenda posti hii ikionyesha mapungufu ya viongozi wa ngazi za juu ambao kwa upande mmoja chanzo ni katiba ambayo imewapa uwezo mkubwa wa kufanya hivyo; pengine katiba mpya tuuzibe mwanya huu wa madaraka pindukizi kwa wakuu wetu.
ReplyDelete