- Mjadala wa nini chanzo cha umasikini wa watanzania ni mjadala ambao unashika kasi hivi sasa;
- je umasikini wa watanzania unasababishwa na serikali au wananchi wenyewe?
- je nini kifanyike kwa haraka ili kuepusha tatizo hili kuendelea kulifanya taifa hili ambalo lina rasilimali nyingi kuendelea kuwa na wananchi masikini?
Hebu nasi tulifikirie na tuendelee kulijadili popote pale ulipo kwa faida ya watanzania
No comments:
Post a Comment