- Taifa letu limekuwa katika majadiliano makali sana kuhusu swala la Muungano wa Zanzibar na Tanganyika;
- Muungano umeibua hisia tofauti na hata kwa upande mwingine chuki miongoni mwa Watanzania
- Je Muungano bado unamuhimu kwetu kama Taifa?
- Je swala la Muungano na fujo ambazo pengine zinaendelea hivi sana behind the scene kwa namna tofauti ni lazima ziendelee?
- Kwani katiba Mpya haiwezi kuleta suluhisho na kuondoa chuki zinazohusiana na swal nzima la matatizo ya Muungano?
hebu tupe mawazo yako;
No comments:
Post a Comment