Wednesday, October 31, 2012

MAMA FATUMA KARUME AONGELEA MUUNGANO;



  • Taifa letu limekuwa katika majadiliano makali sana kuhusu swala la Muungano wa Zanzibar na Tanganyika;



  • Muungano umeibua hisia tofauti na hata kwa upande mwingine chuki miongoni mwa Watanzania



  • Je Muungano bado unamuhimu kwetu kama Taifa?



  • Je swala la Muungano na fujo ambazo pengine zinaendelea hivi sana behind the scene kwa namna tofauti ni lazima ziendelee?



  • Kwani katiba Mpya haiwezi kuleta suluhisho na kuondoa chuki zinazohusiana na swal nzima la matatizo ya Muungano?


hebu tupe mawazo yako; 

No comments:

Post a Comment