- Je sisi kama viongozi wenye mamlaka ya kutimiza ndoto zao ambazo wanazitegemea kupitia wimbo huu ni kweli kuwa tunatekeleza ukweli wa wimbo huu?
- Inasikitisha kama tunashindwa kutimiza viapo vyetu kwa faida yao
- Tuwakumbuke watoto hao kwa elimu na maisha yao bora jamani viongozi
Ni wakati wetu wa kuwajibika kwa faida yao na tufanye hivyo
No comments:
Post a Comment