Wednesday, October 31, 2012

KWA KWELI WATOTO HAWA WAMEIMBA KWA UPENDO SANA WIMBO HUU



  • Je sisi kama viongozi wenye mamlaka ya kutimiza ndoto zao ambazo wanazitegemea kupitia wimbo huu ni kweli kuwa tunatekeleza ukweli wa wimbo huu?



  • Inasikitisha kama tunashindwa kutimiza viapo vyetu kwa faida yao



  • Tuwakumbuke watoto hao kwa elimu na maisha yao bora jamani viongozi


Ni wakati wetu wa kuwajibika kwa faida yao na tufanye hivyo

No comments:

Post a Comment