Tuesday, October 30, 2012

NINI CHANZO CHA MIGOMO TANZANIA?



  • Ni kweli kuwa chanzo cha migomo mingi hapa nchini kwetu inasababishwa na mifumo mibovu ya uendeshaji wa serikali?



  • Migomo imegusa karibu kila eneo la maisha ya Jamii, Je tunawezaje kuepuka hali hii isiendelee tena au sijitokeze mara nyingi?



  • Viongozi wetu wanatambua kuwa pengine chanzo cha migomo ni husababishwa na wao?


Ni wakati mzuri wa kujadili na mwenzako wakati wa mapumziko au mkiwa mnakunywa kahawa

No comments:

Post a Comment